Matthew 4:15-16


15 a“Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali,
kwenye njia ya kuelekea baharini,
ng’ambo ya Yordani,
Galilaya ya watu wa Mataifa:

16 bwatu wale waliokaa gizani
wameona nuru kuu;
nao wale walioishi katika nchi ya uvuli wa mauti,
nuru imewazukia.”

Copyright information for SwhKC